Coronavirus

Kukabiliana na msongo wakati wa COVID-19

Ni kawaida kuwa na huzuni, sonona, kuchanganyikiwa, kuogopa au hasira wakati wa majanga. Kuongea na watu unaowaamini husaidia. Wasiliana na marafiki na familia. Kama utakaa nyumbani, dumisha mfumo wa maisha wenye afya- ikiwemo mlo bora, kulala, mazoezi na mawasiliano ya kijamii na uwapendao nyumbani na barua pepe au simu kwa familia na marafiki. Usivute sigara, [...]

2020-03-26T14:23:24+03:00March 26th, 2020||

Je nivae barakoa ili kujilinda?

Vaa barakoa kama unaumwa na dalili za COVID-19 ( hasa kikohozi) au kama unamuuguza mtu alieathirika na COVID-19.Barakoa za kutumia na kutupa zinafaa kutumika mara moja tu. Kama auhumwi au kuuguza mgonjwa basi unatumia barakoa vibaya. Kuna uhaba wa barakoa ulimwenguni, hivyo WHO inaomba zitumike kwa busara. WHO inashauri kutumia barakoa za kiafya kuzuia matumizi [...]

2020-03-26T09:01:00+03:00March 26th, 2020||

Kuna matibabu gani ya COVID-19 ( ikiwemo vidonge, chanjo, na tiba mbadala)?

Je Antibiotiki ( vijiuasumu) vinaweza kuzuia au kutibu COVID-19? Hapana. Antibiotiki hazifanji kazi dhidi ya virusi,hufanya kazi ya kuuwa bakteria pekee.COVID-19 inasababishwa na kirusi, kwahiyo antibiotiki hazitafanya kazi. Hazifai kutumika kama njia ya kujikinga au kutibu COVID-19. Zitumike pale tu endapo daktari atashauri kutibu maambukizi ya bakteria. Je kuna dawa nyingine au tiba mbadala zinazozuia [...]

2020-03-26T08:59:34+03:00March 26th, 2020||

Nifanye nini kama nilitembelea eneo ambalo COVID-19 imesambaa?

Kama hivi karibuni ( siku 14 zilizopita) umetembelea maeneo ambayo COVID-19 imesambaa, fuata muongozo uliotolewa kwenye swali la 15. ( Nini naweza kufanya ili kujikinga na kuzuia maambukizi?) kisha fanya yafuatayo: Jitenge kwa kukaa nyumbani mpaka upone hii ni kama umeanza kutojisikia vizuri,hata kama dalili ni za kiasi kama kichwa kuuma, homa ya chini ( [...]

2020-03-26T08:55:29+03:00March 26th, 2020||

Hatua za kujilinda kwa kila mtu

1. Zingatia habari za hivi karibuni juu ya milipuko ya COVID-19, inayopatikana kwenye Shirika la Afya Duniani (WHO) na kupitia mamlaka yako ya kitaifa ya afya. Nchi nyingi duniani kote zimesharipoti kesi za milipuko ya COVID-19. Nchini China na baadhi ya nchi zingine zimefanikiwa kupunguza au kuzuia milipuko yao. Walakini, hali hiyo haitabiriki hivyo tembelelea [...]

2020-03-26T08:49:08+03:00March 26th, 2020||

Virusi hukaa kwenye nyuso za vitu kwa muda gani?

Haijafahamika kwa muda gani virusi vinavyosababisha COVID-19 hukaa kwenye eneo husika, lakini inaonekana kuwa na tabia kama za virusi vingine. Uchunguzi unaonyesha kuwa virusi vya korona (pamoja na maelezo ya awali juu ya virusi vya COVID-19) vinaweza kuendelea kuwepo kwenye nyuso za vitu husika kwa masaa machache au hadi siku kadhaa. Hii inaweza kutofautiana kutokana [...]

2020-03-26T08:37:23+03:00March 26th, 2020||

Je! Binadamu wanaweza kuambukizwa COVID-19 kutoka kwa mnyama?

Virusi vya korona ni familia kubwa ya virusi ambayo ni vya kawaida katika wanyama. Wakati mwingine, watu huambukizwa na virusi hivi ambavyo vinaweza kuenea kwa watu wengine. Kwa mfano, SARS-CoV ilihusishwa na paka na MERS-CoV husambazwa na ngamia. Uwezekano wa wanyama kuwa chanzo cha COVID-19 bado haujathibitishwa Ili kujikinga, kama vile wakati wa kutembelea masoko [...]

2020-03-26T08:34:42+03:00March 26th, 2020||

Naweza kupata COVID-19 kutoka kwenye kinyesi cha mtu aliye na ugonjwa?

Hatari ya kupata COVID-19 kutoka kwenye kinyesi cha mtu aliyeambukizwa inaonekana kuwa ndogo. Wakati uchunguzi wa awali unaonyesha virusi vinaweza kuwapo kwenye kinyesi katika visa vingine, kuenea kwa njia hii sio sababu kuu ya mlipuko. WHO inakagua utafiti unaoendelea juu ya njia ambazo COVID-19 imeenea na itaendelea kutoa matokeo mapya. Sababu hii ni hatari, hata [...]

2020-03-26T08:31:52+03:00March 26th, 2020||
Go to Top