Hakuna ushahidi kwamba mbwa, paka au mnyama yeyote afugwaye anaweza kusambaza COVID-19. COVID-19 inasambazwa zaidi kupitia matone yanayotokana na mtu mwenye maambukizi iwapo anakohoa, piga chafya au kuzungumza. Ili kujilinda safisha vizuri mikono yako mara kwa mara.